FULL TIME Kenya 3- 2 Tanzania.
Taifa Stars inayaaga rasmi mashindano ya Afcon 2019 ikiwa na mechi moja mkononi dhidi ya Algeria.
Magoli Ya Tanzania Yamefungwa na;
- S Msuva Dk 6
- Mbwana Samatta Dk 41
Magoli Ya Kenya Yamefungwa na;
- M Olunga Dk39
- J.Omolo Dk 62
- M.Olunga Dk 80
Statistics Ipo Hapa Chini⇊
Sasa shughuli inabaki kati ya Senegal na Kenya, nani atasonga mbele kwenye hatua ya 16 bora.
Tayari Algeria ameshatinga 16 bora baada ya kumtwanga Senegal bao 1-0 leo.
Tayari Algeria ameshatinga 16 bora baada ya kumtwanga Senegal bao 1-0 leo.



No comments:
Post a Comment