Rapper 50 Cent ameingia kwenye headline kwa mara nyingine, hii ni baada ya kumkana hadharani kijana aitwaye Marquise Jackson (21) anayedaiwa kuwa ni mtoto wake.
50 Cent kupitia ukurasa wake wa Instagram, amesema kuwa kijana huyo sio mtoto na tayari ameshapima damu kuhakikisha hilo.


No comments:
Post a Comment